From: C Spinner <cspinner@email.com>
Newsgroups: soc.culture.kenya,soc.culture.african
Subject: Daima tunapendana, Jamaa
Date: Mon, 12 Jul 2004 00:48:42 -0700
Message-ID: <aig4f0lpbbic90qkc4gjd83ga4tfsu3h7v@4ax.com>

A Valentine in kiSwahili (kataa kata?)

From C. Spinner, 12 July 2004

> Last year, I brought back a tape from either Zanzibar, Arusha or
> Lamu. There is a song on it which is sung by a female artist.
> I tried to write down the words/lyrics over the weekend. Tough.
> The more I listen to the song, the more I love it.
> I do not have all the words yet and some of the words may
> be wrong. I want to talk about the song and my trip in my
> short presentation to the travel agents next month.
>
> Do you know anybody who can help with the lyrics?
>
> I have attached my best effort.
> Details, discussions and corrections are welcome.

I vaguely remember it.

It reads like a love song that would be quite popular at social functions at the coast.

I shall post it. I am sure that many on the web know it.

Chorus:

Wape Wapee vidonge vyao
Wakimeza wakitema
Ni shauri yao

1
Wanawake ni wajanja
Na werevu wanao
Waona baba likija(?)
Wakiwa (?)ni shemeji
Mwanifuasa ni mojay Kumbe ni mume mwenzio, Jomba

2
Walifuasa? ni moja
Wewe na mume mwenzio
Kisikia nikiota?
Dunia yetu ya leo
Wake hatuna(?) haja
Ya matumizi na nguo, Jamaa

3 Wanawake ni wajanja
Hakika nimekubali
Wanawake ni wajanja
Hakika nimekubali
Waona baba likija?
Limevaa suruali
Unafuasa? ni moja?
Kumbe ni mume wa pili, Jomba

4
Japokuwa msikizi?
Nikupe ndiyo ni sawa
Waume wa siku hizi
Hati(?) tunaelewa
Unaweka(?) mwana wa kazi
Unarudi ukamuoa, Jamaa

5
Jamani wivu mwaona
Mi silali pekee yangu
Nimezidi kusonona
Mume utika? wenzangu
Furaha nimezo-ona
Ni kwa mpenzi wangu, Jamaa

6
Hata mfanye nini
Ni muharibu? wachana
Msi-ingiwe mbioni
Hatuzishiki fitina
Tu pamoja maishani
Daima tunapendana, Jamaa

7 Mtachoka kututisha
Mtufanye hatuwezi
Mtasita(?) zenu kamba
Haiwi Kwenu ni Kazi
Mimi mwana wa mjomba
Yeye mwana wa shangazi, Jamaa

8
Mfanye mfanyeni
Hiyo ni kishighuli
Msichoke? midomoni
Munayosema sijali
Niko naye mikononi
Daima tunapendana, Jamaa